Watu wengi wanahangaika na dhana ya utoaji zaka ingawa zoezi hili la zamani limepelekea utajiri unaofahamika wa Wayahudi. Katika kitabu hiki, Askofu Dag Heward-Mills anafundisha namna utoaji zaka unavyowakilisha kanuni za utengenezaji utajiri na muujiza wa mafanikio. Furahia moja ya juzuu ya kiwango cha juu ya Dag Heward-Mills.
Aperçu
Sélectionnez une option de livraison
Kwa Nini Wakristo Wasiotoa Zaka Huwa Maskini … Na Jinsi Wanatoa Zaka Wanavyoweza Kuwa Matajiri
1 Item ajouté au panier 1 Item ajouté au ramassage